United Republic of Tanzania. (2025). Tanzania Development Vision 2050. Dodoma; National Planning Commission.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. (2025). Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Dodoma; Tume ya Taifa ya Mipango
Kikao hiki kinalenga kufanya mapitio ya pamoja kati ya Baraza na Mtaalamu Elekezi kuhusu hatua ya maendeleo ya mifumo na tovuti ambayo bado haijakamilika kwa asilimia 100. Lengo ni kujua tumefikia wapi, changamoto zilizopo, na kuweka makubaliano ya muda wa kukamilisha kazi.